>>>Hebu tuchukue yale mazuri ya mwaka jana tuyaendeleze na kuyatenda mwaka huu,aidha mipango - mikakati ambayo hatukufikia malengo mwaka jana,tumwombe Mungu atunyooshee mkono wake wa baraka tuyakamilishe mwaka huu, na bila kusahau kuweka mpango-mkakati wa mwaka huu tena....Basi Mungu ndo mambo yote na ndo aliye 'busy' peke yake huko mbinguni na hapa duniani binadamu tunajidanganya tu tunaposema tupo busy!!
