Ili kuepukana na maradhi ya figo,kisukari na shinikizo la damu, kunywa chai yako kila siku kwa kutumia bidhaa hizi zisizo na madhara yoyote, kwa afya yako:-
UWE NA:-
- Asali badala ya sukari
- Soya au michaichai badala ya majani ya chai
MAANDALIZI YA CHAI:-
- Chemsha maji weka katika chupa ya chai
- Mimina maji katika kikombe cha chai
- Unga soya kidogo na kisha unga asali.Tayari chai yako nzito kwa kunywa
N/B:- Achana na matumizi ya sukari na majani ya chai
.png)
No comments:
Post a Comment