Sunday, February 16, 2014

NJORUMLI-MKOA WA KATAVI
    Wenyeji wa mikoa ya NJOMBE, RUVUMA,MTWARA NA LINDI (NJORUMLI) waishio Mkoa wa Katavi jana 15-02-2014 walisherehekea kuuaga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014 kwa shangwe na shamrashamra katika ukumbi wa City Hotel mjini Mpanda wakiongozwa na mgeni rasmi Mhe Sebastian Kapufi (M/kiti wa H/mashauri wa zamani)
     Baadhi ya matukio yalikuwa kama ifuatavyo tazama hapa chini>>>

1.Wana-Njorumli wakijimwaga kiaina. 
2.Wana-Njorumli wakiendeleza sebene 
 3.Wapenzi wa Njorumli wakiliendeleza rhumba
 4.Bado wanaliendeleza.....
 5.Katibu wa Njorumli akijitambulisha
 6.Mhasibu akienda kuhudumia meza kuu wakati Mr. Dalla akisisitiza jambo
 7.Mgeni rasmi Mhe. Sebastian Kapufi akitoa hotuba yake
 8. Mama Chiwiko akitoa maombi
9.Katibu huyoo                    10.Wanachama wakiliendeleza

No comments:

Post a Comment