>>>>>SERIKALI IMEAMUA KUANZISHA MPANGO HUO BILA KUFAFANUA MANUFAA YAKE. SWALI HAPA NI KWAMBA,JE,WADAU WOTE WAMESHIRIKISHWA NA KUNA MAANDALIZI YA KIASI GANI ILI WADAU HAWA WAWEZE KUHAMIA HUKO SERIKALI INAKOTAKA?
>>>>>>MWALIMU MZOEFU ANASEMAJE KWA HILI?
Ukitaka kuthubutu jambo lolote lie liwe la kibiashara, kilimo, ufugaji,kiofisi au kielimu kama hili,washirikishe wenzako,upate mawazo yao,uzoefu wao,utaalamu wao kisha,kusanya mambo hayo kaa na mwenzako yachuje na mwishi utaibuka na kitu safi (pure) kwani faida na hasara utakuwa unaifahamu lakini kwa hili sijui>>>>tuwe pamoja sehemu ya pili
No comments:
Post a Comment