Monday, September 15, 2014

VIJANA WAKO NYUMBANI BAADA YA MITIHANI YAO YA TAR.10/9 HADI 11/9

          WATU WANASEMA "MUNGU NA MBIO"
   Tunashukuru mitihani imemalizika bila mizengwe,na sasa sisi kama wadau wa fani hii tunachokifanya ni kufanya maombezi yake kwa Mola ili watoto wetu waibuke na ushindi na kushinda mitihani hiyo na hatimaye kutimiza ndoto zao za kwenda sekondari-ndiyo malengo yetu sisi wadau na hasa "Mwalimu Mzoefu" Si unajua tena hii ndo fani aliyonipatia Mwenyezi Mungu lazima niitendee haki kwa wanadamu wanaonipatia watoto wao na kuniamini>>> Basi tuungane pamoja kuwaombea vijana wetu!!
!!!.................Na Mwalimu Mzoefu Darasani..............!!!  
 
 Walimu kazi yetu tumeifanya kwa moyo na uhodari mkubwa na sasa Baba wa wote ndiye mweny "maamuzi"....!!! 

No comments:

Post a Comment