Tuesday, November 4, 2014

MATUKIO KATIKA PICHA JUU YA NJORUMLI - MPANDA, KATAVI:

KIONGOZI WA NJORUMLI( WATU WATOKAO NJOMBE,RUVUMA,MTWARA NA LINDI) AKIWA PAMOJA NA MFADHIRI WA UMOJA HUO KATIKA MAKABIDHIANO YA ZAWADI YA FEDHA ALIYOIAHIDI MFADHIRI HUYO NDG.SEBASTIAN KAPUFI KATIKA HAFLA YA KUUKARIBISHA MWAKA HUU HAPO JANUARI MWAKA HUU.
Wa kushoto ni Ndg Kapufi akikabidhi fedha.

Ukulia ni M/kiti Ngonyani akihesabu fedha
Katibu -Mwl. Haule
Makabidhiano ya zawadi toka kwa Sebastian Kapufi -Nyumbani kwake Nsemulwa (Picha na Mwl.Mzoefu Darasani)

No comments:

Post a Comment