>>>Bwana Afisa Elimu Mr. Kayombo amefanya mabadiliko ya uongozi wa shule za msingi katika H/Mji Mpanda kwa kuwateua walimu wakuu wapya,wasaidizi na walimu wengine kuwahamisha kutoka kituo kimoja cha kazi hadi kingine kwa lengo la kuziba mapengo au kuimarisha au kusawazisha ikama za shule zake wilayani hapa.
>>>Baadhi ya waliokumbwa na uhamisho huo ni pamoja na :
- Mwl.Tweve - toka s/m Misunkumilo
- Mwl.Maico - toka s/m Misunkumilo
- Mwl Mdeda - toka s/m Misunkumilo
- Mwl.Kisaye - toka s/m Mwangaza
- Mwl.Innocent - toka s/m Makanyagio
- Mwl.Denis - toka s/m Kashato
- Mwl.Sophia - toka s/m Katavi
- Mwl.Masai - toka s/m Nsemulwa
- Mwl.Peleka - toka s/m Mapinduzi
- Mwl. Medda - toka s/m Kashato
- Mwl. Kissa - toka s/m Nsemulwa n.k.
Ni baadhi tu ya waliohama kwa kushika madaraka k.v. Uratibu,M/Mkuu na M/M/Msaidizi,lengo la Afisa elimu huyu ni kuisuka timu yake kabambe tayari kwa mapambano ya mwakani 2015 kwa darasa la saba,ukizingatia kuilinda nafasi tuliyoipata mwaka huu kunyakua nafasi ya kwanza kwa H/Miji yote Tanzania.
<<<<

.png)
No comments:
Post a Comment