Thursday, September 24, 2015

TUSHEREHEKEE IDD KWA KUPEANA ELIMU YA KUITUNZA AMANI TULIYONAYO....UKIZINGATIA!!!!! U-C-H-A-G-U-Z-I- NDO HUOOOOOO!!

NGUDU ZANGU WAISLAMU WAKATI TUNAKULA MAPOCHOPOCHO YETU TUKUMBUKE AMANI NI ZAIDI YA KUISHI HAPA TANZANIA

Nimesikia sasa hata kuwekeza sasa kigezo kimojawapo cha wawekezaji kuja kuwekeza,kwanza wanataka kuhakikishiwa usalama na amani juu yao>>>>> Lakini ni kweli kama kuna vurugu utafanya  kitu kweli!! SINA IMANI!!
                                          ~~~~~~~~~~~~!!Na Mwl Mzoefu Darasani~~~~~~~~~~~!!

a-m-a-n-i-a-m-a-n-i-a-m-a-n-i-a-m-a-n-i!!!

Thursday, September 10, 2015

MIAKA SABA(7) LEO-----BASI!!

SAA SITA NA NUSU MITIHANI INAKAMILIKA NA WATOTO WETU WATARUDI NYUMBANI KWA MAPUMZIKO MAFUPI KABLA YA KUINGIA SEKONDARI JANUARI 2016>>>NAWATAKIA KILA KHERI!!!!
                                                    >>><Na MMD>>><<<!!<<
                     MMD na MWL ANAYECHIPUKIA -KUFUATA NYAYO ZA MMD

Wednesday, September 9, 2015

MITIHANI YA DARASA LA SABA(VII) - NA MWL. MZOEFU DARASANI-TOKA MANISIPAA MPANDA,KATAVI

<<<<
>>>>>LEO NGOJA TUITUE NANGA MELI HII KATIKA BANDARI SALAMA-.LA MSINGI HAPA NI LIPI? TUNAAMINI WALIMU WENZANGU WAKISHIRIKIANA NAMI (MMD) KAZI YA KUWAANDAA ILIKUWA PEVU NA MAKINI 
>>>>>NI IMANI YETU NA MATOKEO NAYO YATATOKA KULINGANA NA TULIVYOWAANDAA VIJANA WETU----"MUNGU MBELE'---MBIO NYUMA"
>>>>>WANASEMA HIVI WASWAHILI----"USIJISIFU KUWA UNA MBIO BALI MSIFU ALIYEKUKIMBIZA" NAMAANISHA KUWA YOTE TULIYOYAFANYA SI UWEZO WETU BALI NI MUNGU ALIYESABABISHA
>>>>>BASI NAWATAKIA VIJANA WANGU WOTE TANZANIA NZIMA TUKUTANE SEKONDARI 2016
                                           ~~~~~~~Na Mwl Mzoefu Darasani~~~~~!!

Sunday, September 6, 2015

MIKAKATI YA KUIBUKA TENA NAFASI YA KWANZA MTIHANI WA VII 2015 MPANDA MANISPAA HII HAPA:

  1. KUJIAMINI
  2. KUKARIRI MAJIBU SAHIHI
  3. KUJAZA MASWALI YOTE
  4. KUFANYA MTIHANI KAMA KUFANYA ZOEZI TU
  5. KUTOULIZANA NINI ULIJIBU BAADA YA KILA MTIHANI KUMALIZIKA
N/B:- USHINDI NI MBELE KWA MBELEEEEE KAMA RANGI YA KUJANI NA NJANO!!
                     ...Na Mwalimu Mzoefu Darasani....!!

MITIHANI VII NI JUMATANO IJAYO - MPANDA MANISPAA KAZI KWENU KUTETEA USHINDI WA 2014

Wakati Jumatano 09/09/15 mitihani ikianza kwa dasara vii Manispaa ya Mpanda ina kibarua kizito cha kutetea nafasi walioipata mwaka jana kwa kunyakua nafasi ya kwanza kwa Halmashauri zote za miji Tanzania...Sasa mwaka huu  kunani? ...Lakini ngoja niwaulize kwani ninyi mmejipangaje? Kama Mna "buku" mmekwisha!! Fununu tu ---nasikia ushindi ni mbele kwa mbele kama wana-checheme!!!
                                              ~~~~~Na Mwl Mzoefu Darasani~~~~~!!

Thursday, September 3, 2015

MWALIMU MZOEFU DARASANI NA SIASA

IJAPOKUWA SIASA NI SEHEMU YA MAISHA,BADO KILA MMOJA ANA MAISHA BINAFSI NA FAMILIA YAKE - HUU NDIO UKWELI, BASI WAKATI UNAKWENDA KUCHAGUA  MWAKA HUU, ZINGATIA YAFUATAYO:-
  1. JIULIZE ALIYEKUFIKISHA HAPO ULIPO ALIFANYA LOLOTE AU SI CHOCHOTE
  2. WEWE ULITOA MCHANGO WOWOTE KATIKA KUFIKIA HAPO ULIPO
  3. JIULIZE KAMA AMANI ILITOA MCHANGO FULANI KATIKA KUFIKIA HATUA ULIONAYO
  4. JIULIZE PIA WEWE MWENYEWE ,JE, UNAPENDA AMANI ITAWALE?
MMD (Mwl Mzoefu Darasani) NASEMA HIVIII....CHAGUA "AMANI" UTAONA KILA KITU KITAWEZEKANA!!!