NGUDU ZANGU WAISLAMU WAKATI TUNAKULA MAPOCHOPOCHO YETU TUKUMBUKE AMANI NI ZAIDI YA KUISHI HAPA TANZANIA
Nimesikia sasa hata kuwekeza sasa kigezo kimojawapo cha wawekezaji kuja kuwekeza,kwanza wanataka kuhakikishiwa usalama na amani juu yao>>>>> Lakini ni kweli kama kuna vurugu utafanya kitu kweli!! SINA IMANI!!
~~~~~~~~~~~~!!Na Mwl Mzoefu Darasani~~~~~~~~~~~!!
No comments:
Post a Comment