Wakati Jumatano 09/09/15 mitihani ikianza kwa dasara vii Manispaa ya Mpanda ina kibarua kizito cha kutetea nafasi walioipata mwaka jana kwa kunyakua nafasi ya kwanza kwa Halmashauri zote za miji Tanzania...Sasa mwaka huu kunani? ...Lakini ngoja niwaulize kwani ninyi mmejipangaje? Kama Mna "buku" mmekwisha!! Fununu tu ---nasikia ushindi ni mbele kwa mbele kama wana-checheme!!!
~~~~~Na Mwl Mzoefu Darasani~~~~~!!
No comments:
Post a Comment