1: WENYE HERUFI-"A" KATIKA MAJINA YAKO YA KWANZA
Nyota yao ni "PUNDA" na wanasifa zifuatazo:-
- Mwenye mambo makubwa
- Wanajiamini
- Wana uwezo wa kutimiza malengo yao
- Wenye tahadhari katika maisha
- Washangamfu
- Hupenda matukio
- Hupenda kuheshimiwa
- Hupenda mamlaka
- Wana kiburi
- Wana hasira
2: WENYE HERUFI-"B" KATIKA MAJINA YAO YA KWANZA
Nyota yao ni "NG'OMBE" na wana sifa zifuatazo:-
- Wa karimu
- Waaminifu
- Hupenda kazi
- Wajasiri
- Ni shujaa
- Ni katili katika vita na mali yao
3: WENYE HERUFI-"C" KATIKA MAJINA YAO YA KWANZA
Nyota yao ni "MAPACHA" na wana sifa zifuatazo:-
No comments:
Post a Comment