Sunday, November 24, 2013

NYOTA YAKO NI HII

LEO TUNAENDELEA NA NYOTA KWA WALE WENYE MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI D,E NA F
4: WENYE MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "D" NYOTA YAO NI "KAA"
Watu hawa wana sifa zifuatazo:-

  • Hupenda usawa
  • Hupenda biashara
  • Hupenda kuamrisha
  • Hupenda usafi
  • Ni jeuri kwa kauli zao
  • Ni wenye msimamo katika maisha yao ya kila siku
5: WENYE MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "E" NYOTA YAO NI "SIMBA"
Watu hawa wana sifa zifuatazo:-
  • Wana roho nzuri
  • Ni wenye mapenzi ya kweli
  • Hupenda uhuru katika mapenzi
  • Ni wachangamfu
  • Na ni vigeugeu
6: WENYE MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "F" NYOTA YAO NI "MASHUKE"
Watu hawa wana sifa zifuztazo:-
  • Wenye mapenzi ya kweli
  • Ni wenye huruma kwa wenzao
  • Wenye roho nzuri
  • Wenye uwezo wa kufariji watu
  • Ni watetezi wa watu
  • Ni wenye huzuni
  • Ni wazito katika kuamua mambo
                                    FUATANA NAMI ITAENDELEA........!!!!

No comments:

Post a Comment