10: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "J" HAWA NYOTA YAO NI "MBUZI" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Ni wenye tamaa
- Ni wakweli
- Ni wakarimu
- Ni waelevu wa mambo
- Wasiokubali kushindwa
- Hupata mafanikio makubwa
- Wakati mwingine wanakuwa wavivu na waliokosa mwelekeo
11: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "K" HAWA NYOTA YAO NI "NDOO" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Ni jeuri katika mambo yao
- Wana msimamo thabiti
- Ni mashuhuri
- Wana uwezo mkubwa katika kushawishi
- Huweza kuamsha hisia za watu
- Wana uwezo mkubwa katika utambuzi
- Hawaridhiki na hali ya maisha walionayo
12: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "L" HAWA NYOTA YAO NI "SAMAKI" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Ni watu wa matendo
- Ni wenye hisani
- Waliojipanga vizuri kimaisha
- Hupata ajali mara kwa mara
MR. HAULE
.......FUATANA NAMI ITAENDELEA.......
No comments:
Post a Comment