Tuesday, March 7, 2017

NGOJA TURUDI TULIKOTOKA - ELIMU YA MSINGI NA MABADILIKO YAKE:

<><><>UNAPOANZA KULA BILA KUNAWA UNATEGEMEA NINI?<><><>

"SISI HUKU TUMEANZA KUFUNDISHA KWA KUFUATA MUUNDO MPYA WA MASOMO 7 KUANZIA DARASA LA III-VI. SASA CHA AJABU NI HIKI...WAHESHIMIWA WAMETANGULIZA MAFUNZO KABLA YA VITABU VYA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA..HAPA UNATEGEMEA MATOKEO GANI ! KESHO UTASIKIA TATHIMINI INAONESHA TUMESHINDWA...TUNABUNI MABADILKO MENGINE.
~~~UKITAKA MATOKEO MAZURI YA KITU CHOCHOTE KUMBUKA KUFANYA MAANDALIZI YA NGUVU KWANZA~~~ BASI KAMA WEWE NI MWALIMU KAMA MIMI UMENIELEWA VILIVYO!~
<<<<>>>>




Monday, June 6, 2016

HAYA NDIYO MAISHA YENYE SIHA NJEMA:

HEBU JARIBU KUFANYA MAMBO HAYO UPATE AFYA ISIYO NA SHIDA:
1.ACHANA NA SUKARI-TUMIA ASALI
2.KUNJWA MAJI YA MOTO AU VIGUVUGU-ASUBUHI,MCHANA NA JIONI
3.ACHANA NA MAJANI YA CHAI- TUMIA SOYA,MICHAICHAI,MAJANI YA NDIMU,LIMAU AU MDALASINI WA UNGA
4.ACHANA NA SODA NA POMBE- TUMIA JUISI HALISI
5.ACHANA NA NYAMA NYEKUNDU - TUMIA KUKU WA KIENYEJI,MBOGAMBOGA,JAMII ZOTE ZA KUNDE SAMAKI,DAGAA N.K
6.ACHANA NA VYAKULA VYA MAKOPO- TUMIA MBOGAMBOGA,MATUNDA,JUISI YA KAROTI NA VYAKULA VYA NAFAKA...….UPO HAPO JARIBU UONE KAMA UTAMKUMBUKA HATA DAKTARI...!!! NA Mwl.Mzoefu Darasani ( MMD)










Wednesday, March 23, 2016

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUISHI MIAKA MINGI:

UNATAKA KUISHI MIAKA MINGI?....BASI UNALAZIMIKA KUFANYA HAYA:-
1.Kabili msongo wa mawazo:
          Usiwaze sana katika maisha yako ya kila siku jaribu kuridhika na unachokifanya na kukiamini.
2.Ishi maisha chanya/Kucheka:
          Kulalamika kwa!kila jambo unakaribisha maradhi ya moyo..acha!
3.Fanya mazoezi na pata usingizi wa kutosha:
          Uzito mkubwa wa mafuta mengi ni nyumba ya magonjwa ya moyo...fanya mazoezi!!
4.Tabia zako/Ulaji wa yakula:
          Tusipende kuvuta sigara,ulevi, ngono zembe,kula vyakula vya mafuta ya maji maji k.v nyama,tusile wanga kwa wingi.Kwa kufanya hivyo tutakaribisha;Bp,Stroke,Moyo,Kansa,Unene na Kisukari,Tule vyakula vya asili k,m,Mbogamboga,maji mengi,matunda kwa wingi
5.Dini:
          Kujengwa kiroho,kumtumainia Mungu,kuhudhuria katika nyumba za ibada hurefusha maisha.
6.Kunywa maji mengi:
          Maji mengi mwilini husafisha figo na ini na kuondoa uchafu uliomo.
N/B:- Ni matumaini yangu umeambulia kitu kwa siku ya leo,basi siku nyingine fungua Blog hii ya "Mwl Mzoefu Darasani' upate maarifa mapya ya kimaisha, kielimu na kiafya;;;;;Tchao...!! 

                                                                            (MMD)

Tuesday, November 24, 2015

MWALIMU MZOEFU DARASANI-LEO NA MITIHANI YA DARASA LA IV -KITAIFA;

UNAJUA NINI...AMBACHO HUKIJUI JUU YA MITIHANI YA DARASA LA IV!!
  • Wadau wanauandaa mtihani huu kwa mazoea tu kwa sababu bajeti yake ni ya kubabaisha na wakati mwingine shule zinalazimika kuchangia uendeshaji wake.
  • Wadau hawawaandai watahiniwa kama wale wa darasa la vii
  • Walimu wakuu unafika wakati wa kupambana na wazazi/walezi juu ya michango ya chakula kwa wanafunzi kwa siku mbili za mtihani-hii ni pamoja na kuwalipa wapishi
  • Watahiniwa hawaandaliwi kisaikolojia ikiwa ni pamoja kuwapatia viwango vya kitaifa vya ufaulu wa mitihani hii-hivyo mtahiniwa husalia gizani asielewe kuwa asipofanya nini kitatokea
  • Kutokana na uhafifu wa umuhimu wa mtihani huu-imefikia hata mzazi/mlezi hajawahi kushuhudia mtoto wake akikariri darasa kwa kushindwa mtihani huu na ndio maana hawajibiki ipasavyo kwa mtoto wake na wala shughuli zote zihusuzo mitihani hii kwa ujumla
  • Matokeo ya hayo yote-ni KUUONA MTIHANI HUU NI KAMA MILA NA DESTURI IKIFIKA MUDA WAKE BASI TUANDAE WATOTO WAKAFANYE....BASI!!
<><><><>Ni mtazamo wangu kama Mwl Mzoefu Darasani<><><><>!!!!!
NITUMIE NAFASI HII KUWATAKIA KILA LA KHERI WAANDAJI-WASIMAMIZI-NA WATAHINIWA WOTE-MTIHANI MWEEEEEMAAAAA!!!
<><><>Na MMD-S/M-M/MILO<><><>!!


 








Mwl Mzoefu Darasani(MMD)

Tuesday, November 17, 2015

LEO NA MWL MZOEFU DARASANI(MMD)....!!

NGOJA........NIZUNGUMZIE HII MITIHANI YA DARASA LA NNE KITAIFA TUNAYOIENDESHA NA KUISIMAMIA KILA MWAKA.
.......>>NIZUNGUMZIE UBORA WAKE NA UMUHIMU WAKE:
1.Umepungua kwa kiasi kikubwa:
  • Fedha za kuendeshea zinapunguzwa siku baada ya siku ..na huko tunakokwenda utatokea kuanza kuwachangisha wazazi
2.Hauna kiwango maalum cha ufaulu ..matokeo yake kila mwalimu mkuu anakiwango chake cha kuwapeleka watoto hao darasa la tano:
  • Kwa ujumla watoto hao wafaulu wasifaulu wanaingia darasa kama kawaida wala hakuna mdau yeyote anayeshituka na kukumbuka kuwa malengo ya mtihani huu ni kuwapima watoto na kuwachuja ili darasa la tano waingie kwa kichwa na si kwa miguu(waingie wenye uwezo tu)
  • Hakuna inayofuatilia wanafunzi walioingia darasa la tano baada ya mtihani...si wadau wa mkoa,wilaya wala kata- kazi inasalia kwa m/mkuu peke yake
3.Swali hapa na hoja kuu ni nani awajibike:
  • Wizara-haiupatii mtihani huu umuhimu unaostahili?
  • Maafisa elimu mikoa -  hawaoni umuhimu wake lakini wanaona fedha toka wizarani hivyo wazifanyie kazi zisirudishwe?
  • Maafisa elimu wilaya - wanapokea maagizo tu basi?
  • Waratibu elimu kata - wamezoea kuona mitihani hii ikifanyika kila mwaka na hivyo hawana haja ya kuuliza kama wanachokisimamia ni sahihi au la!?
  • Walimu wangu wakuu - wenye kupokea kama yalivyo hata kama hayajaiva...wanauzoefu wa kuyarudisha katika jiko mpaka yaive na kuliwa na wanafunzi wao?
MPAKA HAPO SINA MAELEZO MAZURI ZAIDI KAMA MWL MZOEFU DARASANI! ..NINACHOSHAURI KWA UZOEFU WANGU NI KWAMBA TUSIMAMIE MITIHANI YA SHULE VIZURI TU INATOSHA MBONA ENZI ZETU TULIKUWA TUKIFANYA VIZURI PASIPO MITIHANI HII?>>>>>>>>SIJUI WEWE UNA MAONI GANI YENYE MSAADA ZAIDI ....Toa maoni yako>>>...!!
              <<<<<
Darasa>>


 Boss wa elimu
<<                           















                                      MMD - Kulia>

Thursday, September 24, 2015

TUSHEREHEKEE IDD KWA KUPEANA ELIMU YA KUITUNZA AMANI TULIYONAYO....UKIZINGATIA!!!!! U-C-H-A-G-U-Z-I- NDO HUOOOOOO!!

NGUDU ZANGU WAISLAMU WAKATI TUNAKULA MAPOCHOPOCHO YETU TUKUMBUKE AMANI NI ZAIDI YA KUISHI HAPA TANZANIA

Nimesikia sasa hata kuwekeza sasa kigezo kimojawapo cha wawekezaji kuja kuwekeza,kwanza wanataka kuhakikishiwa usalama na amani juu yao>>>>> Lakini ni kweli kama kuna vurugu utafanya  kitu kweli!! SINA IMANI!!
                                          ~~~~~~~~~~~~!!Na Mwl Mzoefu Darasani~~~~~~~~~~~!!

a-m-a-n-i-a-m-a-n-i-a-m-a-n-i-a-m-a-n-i!!!