19:MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "S" HAWA NYOTA YAO NI "MIZANI" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Ni wenye mvuto mkali wa kuleta utajiri
- Wana maamuzi ya ghafla
- Hupenda mageuzi makubwa
20: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "T" HAWA NYOTA YAO NI "NGE" NA WANASIFA ZIFUATAZO:-
- Hupenda ushauri wa kiroho
- Hutumia nguvu za ziada kusaidia watu
- Hupata mafanikio baada ya muda mrefu
- Wana hisia kali sana
- Ni wepesi kushawishika
21: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "U" HAWA NYOTA YAO NI "MSHALE" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Wenye bahati kubwa
- Wanapenda uhuru katika mapenzi
- Ni wabinafsi
- Wenye tamaa
- Hawana maamuzi
22: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "V" HAWA NYOTA YAO NI "MBUZI" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Ni wachapa kazi
- Wenye bidii na wasiochoka
- Hawatabiriki
23: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "W" HAWA NYOTA YAO NI "NDOO" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Ni wawazi
- Wachangamfu kipita kiasi
- Wana uwezo wa kutambua mtu mwema na mbaya
- Ni wenye tamaa
- Hufanya mambo ya hatari
24: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "X" HAWA NYTO YAO NI "SAMAKI NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Hawapendi vizuizi katika anasa
- Ni rahisi kuziingiza katika uzinzi
- Hujitoa katika uaminifu
25: MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI "Y" HAWA NYOTA YAO NI "PUNDA" NA WANA SIFA ZIFUATAZO:-
- Hupenda uhuru
- Hawapendi kupingwa kwa lolote
- Hukosa uamuzi
- Hupoteza bahati katika maisha
N/B:-Kama hukufuatilia herufi zilizo tangulia fungua Blog hii ya MWALIMU "MZOEFU DARASANI" uijue nyota yako-LIKE Blog hii upate kuyajua mengi
..............................KILA LA KHERI.....................BYE !!!